Skip to main content

Kenya ni Kipenzi

 


Kenya ni Kipenzi

Kenya ni kipenzi, nchi tulivu
Amani kaipa Mungu, daima milele
Natujivunie wana wake, tumpongeze
Kila siku, tuwe wakushukuru.

Kenya ni Kipenzi, kweli yapendeza
Tsavo, Amboseli – mbuga za wanyama
Kericho, Limuru – chai tamu sana
Kilifi, Kisumu – fuo zenye kung’aa.

Kenya ni kipenzi, nchi tulivu
Amani kaipa Mungu, daima milele
Natujivunie wana wake, tumpongeze
Kila siku, tuwe wakushukuru.

 

Pale Turkana – chimbuko la binadamu
Bonde la ufa – muujiza wake Muumba
Mombasa sawa– kisiwa shwari raha
Historia yetu tukufu – Amu (Tamu) Lamu.

Kenya ni kipenzi, nchi tulivu
Amani kaipa Mungu, daima milele
Natujivunie wana wake, tumpongeze
Kila siku, tuwe wakushukuru.

Wakenya watu wa bidii, sio wakaidi
Ukarimu pasi kuigwa, roho ya utu
Wanariadha wake sifika, ulimwengu
Kilimo, utalii, uvumbuzi, na mengi zaidi.


Kenya ni kipenzi, nchi tulivu
Amani kaipa Mungu, daima milele
Natujivunie wana wake, tumpongeze
Kila siku, tuwe wakushukuru.

Hata katika wakati wa dhiki, Kenya kweli ni nchi barikiwa na teule. Mandhari yake ni yenye kuvutia na wananchi wake wakarimu ajabu. Ndiposa ni vyema kujiuliza, ‘Nini naweza kuifanyia nchi yangu ili iimarike zaidi?’

https://www.youtube.com/watch?v=Qq7CX3yk8r4

Comments

Popular posts from this blog

#20BobSanaa

  With a heavy heart, having cried my heart out, I let go. Of these dear books with many a memory. This to support my book launches. Gladden, though, for they are on offer for as low as Kshs 20 – 20bob (exclusive of delivery costs): 1.        Betrayal in The City 320 2.        Paper Doll 320 3.        Royal Scandals 320 4.        Poems from East Africa 320 5.        Mimba Ingali Mimba 220 6.        Half a Day and Other Stories 120 7.        Kitumbua Kimeingia Mchanga 320 8.        Walenisi 420 9.        Horn of My Love 220 10.    Mayai Waziri wa Maradhi 120 11.    Brisinger 520 12.    Cabal 320 13.    The Patriot Game 320 14.    The Resurre...

Remembrances

Soft faces in tender places, I remember Shy lips and high hips, cold, the embers Soft skin and what could have been Echoes of stillness, in my labour, I have seen. Dotted noses and eyes brows, I have kissed In the throes of passion, questions missed Loved etched, sketched and drenched Here now I stand, on the world’s edge. It is a warm, fuzzy August night, as some books say. Mice scurry about, fat cats on their tails’ ends. I guess this is still so in one of your many books. Anyway, them books have squeezed me out of your heart and mind. Surely strange, but to love you in one still world is impossible when you live in so many. I am sure, too, that there is a pretty poem that says what’s in my heart about our situation. Adios. Feverish nights, grey nights, my dreams are possessed Yet, come morning, the old hauntings are to be dispensed The day is come, revealing the world as it is – boring I long for dusk, then I can pirate to adventure – roaring. It is a holiday. I am in ...

Gossip this morning

 I heard this morning, that… The price of unga, is about to go up I heard this morning, that the price of unga, is coming down I heard this morning, that the government, it has banned, unga Perhaps, the speaker meant, burnt Either way, our bellies, they burn Some, of hunger Others, belly full. I heard mid-morning, that, oil, is scarce Or, for cars, the speaker, he mumbled about. I heard mid-morning, that, he has passed us Or, the pastor, is us The messiah, he plays games. I heard in the afternoon, the government, is broke The weather, out of order The war, just In my afternoon, there was no peace. In the evening, I held counsel My ears, blocked with wax My eyes, blinded in tears My tongues, stilled in fury These things, they are not for me Screams of - baby Isak Shrieks of - Fatuma Howls of – Abdi Bombs, play toys Up above, silver streaks The rain, violent For a Utopia, the soldier man.